kupitia intagram yake soldier wa muziki wa r&b na hit maker wa ngolela Zax 4real amejaribu kuonesha kuwa ameguswa na kitendo cha baadhi ya watu ambao wanataka kumkatisha tamaa ya mafanikio katika muziki wake. kwa kupost picha iliyokuwa na ujumbe wenye hisia kali ndani yake
soma hapa chini alafu dondosha comment yako
Siamini Kama Mji Wangu #MbeyaCity
Mmenichoka Au Ni baadhi Ya Wachache Watakao Kunikatisha Tamaa Kwa Kile
Nafanya...Hivi Ni Kweli Mbeya Hamjui Mchango Wangu Kwenu Naongea na Wewe
Presenter,Mdau,Msanii na Si Shabiki Ambaye mnataka kumfanya Akose imani
na Mziki wangu au na Mimi #Zax....
Ni Nani amewai jitolea kunisaidia kwa kuona juhudi Zangu ninazofanya
akasema sasa Zax njoo hapa tufanye hivi na hivi then uwe pale kama si
juhudi zangu na Mashabiki zangu ambao wanafanya niangaike kila siku kwa
kujitoa ufahamu wangu ili tu niwe sawa nao ila si kwa wale walokazana
niondoke mbeya na kusema nafeli kwakuwa nawaza tu kimbeya mbeya...hivi
ni Nani alijua kutembea bila kufundishwa??? Kwa Leo naishia hapa Nina
muda Wa masaa kama 48 kumaliza hili jambo....jiulize una msaada gani
kwangu then judge me....
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni