TAZAMA RAPA TYGA AKIWA NA CHOMBO KIPYA BAADA YA KUTEMANA NA KYLIE JENNER

Dunia ya leo ukiwa maarufu na una pesa hakuna linaloshindikana!! Msemo huu umetokea baada  ya Rapa Tyga kumwagana na Mrembo Kylie Jenner lakini cha kushangaza ni muda mfupi tu umpita tangu wavunje mahusiano na mrembo Kylie,Sasa amemuonesha kwa mara ya kwanza Girlfriend wake mpya kwenye mitandao ya kijamii.







Tyga na Kylie Jenner walizinguana kwa ishu za usaliti baina yao kitu ambacho wawili hao walikuwa wa kimya na kila mmoja wao akiwa single mpaka siku ya leo Tyga alivyoamua kuonyesha ulimwengu ubavu wake kwa kuopoa mrembo huyo ambae jina lake halijajulikana mpaka sasa ingawaje mitandao mingi imedai kuwa ni Model,

Tazama picha za mrembo huyo akiwa na Tyga jana kwenye Mgahawa wa Serafina Sunset huko Los Angeles,Marekani

i
Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social