Itegemee Chibu Perfume Kitaani kwako Wiki Ijayo

Baada ya kusubiri kwa muda mrefu kuingia sokoni kwa perfume ambayo inamilikiwa na msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz (Chibu Perfume) hatimaye the wait is over.


Kupitia kurasa ya instagram ya Diamond Platnumz, ametusanua kwamba kuanzia wiki ijayo perfume hiyo itakuwa sokoni na tayari kabisa kufika kwa walengwa na kuanza kutumika kitaani.
Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social

LAST YEAR POST

FACEBOOK PAGE