Jux; mimi sio SINGLE boy, je yupo na Vanessa au

Baada ya tetesi kuzagaa kitaani kuwa Jux na Vanessa Mdee wameachana kimya kimya, kumekuwepo na maneno mengi, mara eti penzi lao la mbali ndio chanzo cha kuachana kwao ?


Kwenye interview na #Sammisago on #FridayNiteLive Jux amefunguka nakusema “Kwanza nataka kukusahihisha kuwa mimi sio SINGLE BOY, niko na mtu ,kuhusu Vanessa kama nipo naye Thats My Business

Jux pia amesema hakujua kuhusu stori hizi mpaka alipofika kwenye interview na Sammisago.
Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social

LAST YEAR POST

FACEBOOK PAGE