AMBER ROSE NAYE HAISHIWI VITUKO

AMBER Rose alikuwa amewashtua mashabiki wake na kuanza kujiuliza kama alikuwa amekusudia kutangaza rangi ya mdomo au alilenga kuanika chuchu zake kwa makusudi.


Katika picha aliyoweka kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram, alionekana mwanamitindo huyo akilamba rangi yake ya mdomo, huku maziwa yake yakiwa nje na kufanya mashabiki wake kuachana na rangi iliyodaiwa kwamba alikuwa anaitangaza na kukodolea chuchu za mlimbwende huyo.

Mashabiki wa mrembo huyo ambaye zamani alikuwa anacheza mtupu, walianza kumiminika na kutoa maelezo kila mmoja alivyojua yeye, wakionyesha kupagawa na picha hiyo.
Mmoja aliandika: “Mtoto hatari kama malaika, ana chuchu nzuri.” Huku mwingine akiongezea: “Mmoja wa mademu ninaowakubali sana na wazuri na leo ameamua kutusafisha macho.”

Shabiki wake wa mwisho alikiri kwamba msichana huyo anajua kuwaweka roho juu mashabiki wake: “Picha nzuri, mwanamke mzuri, chuchu nzuri, umejua kututega.”
Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social