Nicki Minaj anamalizi vimeo vya wasanii waliokuwa kwenye orodha ya
colabo zake mwaka huu, this time amezama studio na kundi la DNCE na
kukamilisha colabo yao ya “Kissing Strangers,” inayotoka ijumaa ya April
14.
Ukiacha “Kissing Strangers” Nicki tayari kafanya colabo na Jason Derulo
“Swalla,”, Gucci Mane “Make Love,” na David Guetta “Light My Body Up.”
Home »
» Nicki Minaj, natoa colabo kali kabla ya ngoma zangu kali….
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni