NEW: MIXTAPE (MY STORY ) KUTOKA KWA LAST BORN



Rapper na producer LAST BORN  kutoka nyanda za juu kusini GREEN CITY MBEYA chini ya usimamizi wa record rebel ya T-MOTION baada ya kukaa kimya kwa muda ametuletea mixtape. 



 Rapper huyo amejitosa katika soko la mixtape na kuisogeza MY STORY mixtape karibu kabisa na sikio lako japo ramani ya muziki kwa sasa inaonekana kupoteza njia kutokana na kuwepo kwa upepo unaovuma kwa kasi katika anga la siasa lakini hiyo sio changamoto kwenye mixtape ya rapper last born .



Mixtape hiyo ambayo imetoka hivi karibuni na kubatizwa jina la MY STORY imekamilishwa na ngoma 14 Huku ikiwa na wasanii wakubwa zaidi ya kumi walioshirikishwa  ndani ya mixtape hiyo akiwemo rapper  country boy , selementary  , zax 4real , nemo , makanta jr , jadah makanta ,adamore, young boys gorko flow na dasi.

Mixtape hiyo ipo chini ya maproducers saba waliofanikiwa kutengeneza hits kibao  katika ramani ya muziki wa bongo freva  akiwemo GACH B, J WILLZ, S2 KIZZY, DAMOST, ROPA BEATS, OLD PAPER, NACH B akiwepo na yeye mwenyewe LAST BORN kutoka T-MOTION.



Pia mixtape hiyo inapatikana kwa TSH 5000 kuwa mjanja kwa kukamata nakala yako ili kuweza kuinua muziki wa hiphop kutoka nyanda za juu kusini wacheki hapa T-MOTION no; 0625685817,0718790349, na 071229500.



Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social