Meja Mingange alisema uwepo wake katika kikosi hicho anayaona
mafanikio makubwa baada ya timu hiyo kupanda nafasi za juu katika
msimamo wa ligi hiyo.
Meja Mingange alisema mafanikio hayo yanatokana na usikivu wa wachezaji anapokuwa nao kwenye mazoezi.
Meja Mingange alisema kutokana na ushindi huo, umeifanya timu hiyo kushika nafasi 10 kutokana na pointi 30.
“Tunafurahia ushindi wa (jana) juzi ambao umetupa nguvu na morali ya kupambana zaidi, hivyo tutajitahidi kila njia angalau tushinde kwenye michezo yetu iliyobaki ambayo kidogo itatupa moyo zaidi wa kujiweka pazuri kwenye msimamo,” alisema Mingange.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni