Ni kundi lenye wasanii wakali kwenye bongo fleva Tanzania, Talk about Diamond Platnumz, Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny, na first lady Queen Darlen.
Kwenye instagram za wasanii hawa kuna hizi picha kuhusu ujio wa ngoma ya kundi…. Je Diamond atasikika kwenye rekodi hii au itakuwa wasanii wake tu ?
Kutoka kwa Queen Darlen
>>Kamakujamba wa Shajama Sana Boss @babutale Boss@mkubwafellatmk Boss @sallam_sk Boss @diamondplatnumz Tufumue tu kama Vp #MudasiorafikiwaBinaDam#duuuuuuuuushwa
Kutoka kwa Rich Mavoko
>>Haya Mkimaliza Mambo Zenu Za Siasa Mtupe Tarehe Na Sisi Tufumue Hiii #Showme
Kutoka Kwa HARMONIZE
>>MKISHA MALIZA SHUGHULI ZENU MTATUPA RUHUSA LINI TULIAMHSE DUDE…….!!!!! TUFUMUE HII #SHOWME
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni