Picha,Davido kwenye skendo kubwa ya kulipia gari kwa cheki huku pesa hana

Staa wa muziki kutoka Nigeria ameingia kwenye skendo kubwa ya kulipia gari kwa cheki bila kuwa na hela benki.



Wakili wa wakala aliyeuza gari hilo amemchana Davido instagram kuwa cheki yake imegoma kupita kutokana na kutokuwa na hela kwenye account yake ya benki, kiasi cha Naira milioni 7 za Nigeria ambazo ni kama 51,148,696 za Tz.

Davido alinunua gari aina ya Mercedes Benz GLE 450.



 Wakili Mr. Anuka Chika Valentine ametaka Davido kumaliza deni hilo wiki hii.


Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social