Chriss bee anakuletea safari soon get ready

Msaniii na mtangazaji wa redio kutoka nyanda za juu kusini anayetamba sana na wimbo wake wa bashee baada ukimya wa muda mrefu bila kuachia track yoyote takribani mwaka mmoja na nusu sasa  umepita toka atuwekee sikioni track ya bashee.





Kupitia ukurasa wake wa facebook chriss bee ameamua kuvunja ukimya huo kwa kuwawekea mashabiki wa muziki wake post inayoashiria ujio wa ngoma yake mpya kwenye ukurasa huo chriss bee ameweka ujumbe huu na picha hii ha chini...
"Kesho naachia rasmi ngoma yangu Mpya........ na Itapatikana Katika mitandao yote..... Hii ni baada ya kukaa mwaka Mmoja na nusu bila kuachia ngoma.....kutokana na matatizo kadhaa....... #SAFARI"  

hii ndio habari njema kwa mashabiki wa muziki wa chriss bee.

Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Social